NB:1. -li- shows a past action
-me- shows a recent action
-ta- shows a future action
-na- shows a present action
2. Your support is to click Ads like Apply, Study in India,… It is free!
1. Kuwa: to be
Eg:- Utakuwa mgeni wetu.
– You will be our guest.
2. Kufungua: to open
Eg:- Nilifungua mlango.
– I opened the door.
3. Kuanza: to start
Eg:- Nilianza wiki iliopita.
– I started last week.
4. Kufunga: to close
Eg:- Alifunga mlango.
– She closed the door.
5. Kufahamisha: to explain to
Eg:- Nitakufahamisha.
– I will explain to you.
6. Kumaanisha: to mean
Eg:- Neno hili linamaanisha nini?
– What does this word mean?
7. Kusema: to say
Eg:- Sema asante.
– Say thank you.
8. Kuelewa: to understand
Eg: – Unaelewa?
– Do you understand?
9. Kuzungumza: to converse
Eg:- Nataka kuzungumza na wewe.
– I want to converse with you.
10. Kuomba: to ask for, to request
Eg: – Naomba msaada
– I ask for help.
11.Kuitwa : to be called
Eg:- Ninaitwa Dona:
– I am called Dona
12. Kutoka: to come from
Eg:- Unatoka wapi?
– Where do you come from?
13. Kuishi: to live
– Tunaishi pamoja
– We live together
14. Kufa: to die
Eg: – Alikufa mwaka jana.
– He died last year.
16.- Kuzaliwa: to be born
Eg: – Nimezaliwa London.
17. Kulipa: to pay
Eg: – We will pay tomorrow.
– Tutalipa kesho
18. -Kupa: to give
Eg:- I gave you one thousand
– Nilikupa elfu moja
19. Kuleta: to bring
Eg:- Umeleta pesa?
– Have you brought money?
20. kuweka: to put: gushyira
Eg:- Weka sahani chini.
– Put a plate down.
21. Kupita: to pass (by)
Eg:- Pass by here.
– pita hapa.
22. Kuandika: to write
Eg:- Andika hapa
– Write here.
23. Kuambia: to tell
Eg:- Aliniambia jina lake.
– She told me her name.
24.Kuonyesha : to show
Eg:- Unaweza kunionyesha wazazi wako?
– Can you show me your parents?
25. Kusoma: to read
Eg:- Nilisoma kitabu.
– I read a book.
26. Kuwasiliana : to communicate (with each other)
Eg:- Tunaweza kuwasiliana kwa Kiswahili.
– We can communicate in Kiswahili.
27. Kuna: to have
Eg:- Nina kalamu
– I have a pen